emblem

The United Republic of Tanzania

The National Museum of Tanzania (NMT)

News

MAKUMBUSHO INAYOTEMBEA YANOGESHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.

Makumbusho ya Taifa nchini imeshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, kwa kuelimisha jaamii juu ya Uhifadhi wa Urithi wa Utamaduni na Malikale kupitia Gari Maalumu (Makumbusho inayotembea).

Makumbusho na UNESCO wakutana kujadili kuhusu malikale zilizo nje ya nchi

Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa la Tanzania Dkt. Noel Lwoga leo amekutana na Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya UNESCO Tanzania Prof. Hamis Masanja Malebo kwa ajili ya kujadili masuala ya urejeshw...

Waziri Masanja azindua gari ya Maonesho yanayotembea (Mobile Exhibition Van).

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja amezindua gari ya maonesho yanayotembea mjini Songea na kuitaka Makumbusho ya Taifa kuitumia katika kutangaza utalii wa makumbusho, malikale na u...

WATANZANIA WATAKIWA KUENZI MASHUJAA WA VITA VYA MAJIMAJI KWA KUHIFADHI MILA NA TAMADUNI

Watanzania wametakiwa kuendelea kuwaenzi Mashujaa wa Vita vya Majimaji kwa kuhifadhi mila na tamaduni zao kwa kufanya kazi kwa bidii, kulinda rasilimali za Taifa, kupambana na kuzuia rushwa, madawa y...

Watanzania watakiwa kuthamini mila, desturi kuvutia utalii

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Col. Laban Elias Thomas amewataka Watanzania kuthamini mila na desturi zao ili kuvutia utalii nchini.

VIONGOZI WA SHIRIKA LA UTOLD FOUNDATION WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA.

Kituo cha Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Kimepokea wageni zaidi ya 300 ambao ni viongozi wa Shirika lisilo la kiserikali la Utold Foundation kutoka nchi mbalimbali Afrika Mashariki na nje ya Afrika...

Kikwete ataka Watafiti wa Malikale kushirikiana Tendaguru

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewataka watafiti wa masuala ya Malikale kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Taasisi ya Makumbus...

NAIBU KATIBU MKUU MALIASILI AFURAHISHWA NA UHIFADHI MAKUMBUSHO

Naibu Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Bw. Juma Mkomi ametembelea miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Makumbusho ya Taifa katika vituo vya Nyumba ya Utamaduni na Kijiji cha Makumbusho na kufurahi...